Isaiah 55:6-7


6 aMtafuteni Bwana maadamu anapatikana;
mwiteni maadamu yu karibu.

7 bMtu mwovu na aiache njia yake,
na mtu mbaya na ayaache mawazo yake.
Yeye na amrudie Bwana, naye atamrehemu,
arudi kwa Mungu wetu, kwa kuwa atamsamehe bure kabisa.

Copyright information for SwhKC